Na Rachel Balama
WANANCHI wa maeneo mbalimbali Jijiji Dar es Salaam wamesikitishwa na mfumuko wa bei za bidhaa muhimu kwani hali hiyo inawaweka katika wakati mgumu
27 January 2012
SERIKALI IUNDE CHOMBO CHA KUDHIBITI BEI -GDSS
Na Rose Itono
WADAU wa semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) wameitaka serikali kuwa na chombo maalumu cha kudhibiti bei za bidhaa ili kuwawezesha wananchi wa kumudu gharama za maisha.
WADAU wa semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) wameitaka serikali kuwa na chombo maalumu cha kudhibiti bei za bidhaa ili kuwawezesha wananchi wa kumudu gharama za maisha.
SERIKALI, MADAKTARI WAFIKISHANA PABAYA.
Serikali, madaktari wafikishana pabaya
*Sasa wapashana kupitia vyombo vya habari pekee
*Wagonjwa wataabika, ndugu wahaha kuwahamisha
*Watangaza athari za mgomo ndani ya siku 12
*Sasa wapashana kupitia vyombo vya habari pekee
*Wagonjwa wataabika, ndugu wahaha kuwahamisha
*Watangaza athari za mgomo ndani ya siku 12
CHEKA,NYILAWILA KUPIMA UZITO LEO.
Na Mwali Ibrahim
MABONDIA Karama Nyilawila na Francis Cheka leo wanatarajia kupima uzito kwa ajili ya kujiandaa na pambano lao lisilo kuwa la ubingwa linalotarajia kufanyika kesho.
MABONDIA Karama Nyilawila na Francis Cheka leo wanatarajia kupima uzito kwa ajili ya kujiandaa na pambano lao lisilo kuwa la ubingwa linalotarajia kufanyika kesho.
26 January 2012
MAHAKAMA KUU KUANZA KUSIKILIZA KESI YA ALIYEKUA MGOMBEA URAIS WA BURUNDI.
Na Grace Ndossa
MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam itaanza kusikiliza kesi ya kumshikilia aliyekuwa mgombea urais nchini Burundi Bw. Alex Sinduhije Febuari 6 mwaka huu.
MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam itaanza kusikiliza kesi ya kumshikilia aliyekuwa mgombea urais nchini Burundi Bw. Alex Sinduhije Febuari 6 mwaka huu.
MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM KUTOA MAAMUZI JUU YA PINGAMIZI LA DOWANS.
Na Grace Ndossa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imesema itatoa uamuzi wa pingamizi lililowasilishwa na Kampuni ya Dowans la kuitaka mahakama hiyo isiwape Tanesco kibali cha kukataa rufaa Febuari 16 mwaka huu .
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imesema itatoa uamuzi wa pingamizi lililowasilishwa na Kampuni ya Dowans la kuitaka mahakama hiyo isiwape Tanesco kibali cha kukataa rufaa Febuari 16 mwaka huu .
KATIBU MKUU TUCTA AWATAKA MADAKTARI KUTOKURUDI NYUMA KWA MADAI YAO.
Na Rehema Maigala
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Nicholaus Mgaya amewataka madaktari wasirudi nyuma katika maslahi ya kuomba haki yao mpaka pale kitakapoeleweka.
BENKI YA KCB YATOA MISAADA KWA HOSPITALI YA BUGURUNI NA CCBRT.
Na Rehema Mohamed
BENKI ya KCB Tanzania imetoa msaada wa mbalimbali vya hospitali katika hospitali ya Buguruni na CCBRT vyenye zaidi ya thamani ya sh.milioni 22.3
BENKI ya KCB Tanzania imetoa msaada wa mbalimbali vya hospitali katika hospitali ya Buguruni na CCBRT vyenye zaidi ya thamani ya sh.milioni 22.3
SERIKALI imeshauliwa kutimiza malengo ya Milenia
Na Rehema Mohamed
SERIKALI imeshauliwa kutimiza malengo ya Milenia na mpango wa sera ya afya ili kupunguza vivyo vya watoto ambavyo vinavyoweza kuzuilika.
SERIKALI imeshauliwa kutimiza malengo ya Milenia na mpango wa sera ya afya ili kupunguza vivyo vya watoto ambavyo vinavyoweza kuzuilika.
AZAM FC YAINYWESHA AFRICAN LYON 2-1
Na Speciroza Joseph
TIMU ya Azam FC, jana ilitoka kifua mbele katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuichapa African Lyon, mabao 2-1 iliyopigwa Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya Dar es Salaam.
TIMU ya Azam FC, jana ilitoka kifua mbele katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuichapa African Lyon, mabao 2-1 iliyopigwa Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya Dar es Salaam.
Subscribe to:
Posts (Atom)