24 May 2013

Obama kuja na watu 700

Na Rehema Maigala


 RAIS wa Marekani, Bw. Barack Obama, atakuwa na ujumbe wa watu 700 katika ziara yake ya siku mbili nchini Tanzania kuanzia Julai Mosi mwaka huu.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Bernard Membe, aliyasema hayo Dar es Salaam jana wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Alisema kutokana na ziara ya kiongozi huyo, alitoa wito kwa wafanyabiashara wenye hoteli, migahawa, magari ya kukodisha waziboreshe biashara zao ili Wizara hiyo iingie mkataba nao.
Aliongeza kuwa, akiwa nchini, Bw. Obama atafanya mkutano na viongozi wa nchi zinazoendelea kwa kuzungumzia umuhimu wa sayansi na teknolojia katika nchi zao.
“Ugeni huo ni mkubwa, ujio wa kiongozi huyu utaisaidia nchi kupata pesa
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya Posta, Prof. Lehice Rutashobya  (katikati) akiteta jambo na Ofisa Mtendaji Mkuu wa benki hiyo, Bw. Sabasaba Moshingi (kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Shirika la Posta, Bw. Hamisi Mndeme, baada ya kumalizika mkutano wa mwaka wa wanahisa wa benki hiyo Dar es Salaam jana. Picha na Prona Mumwi

Askari Polisi akimdhibiti kijana ambaye hakufahamika jina (wa tatu kulia)kwa kutuhumiwa kuiba kompyuta ya kubebe 'laptop' na  hela ndani ya gari lililokuwa limeegeshwa katika eneo la Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam juzi. Picha na Peter Twite


Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Bi. Liberata Mulamula akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dar es Salaam jana kabla ya mkutano wa kujadilikuhusu maadhimisho ya Miaka 50 ya Umoja wa Afrika (AU) yatakayofanyika Addis Ababa, Ethiopia. Picha na Asia Mbwana

Wananchi kutoa milioni 156/- kujenga nyumba za walimu


Na Mwandishi Wetu,
Tabora


 WANANCHI wa Kijiji cha Making Kata ya Ichemba Wilaya ya Kaliua, mkoani Tabora wamekubaliana kuchanga shilingi milioni 156 ili ziweze kutumika katika ujenzi wa nyumba 13 za walimu.
Wananchi hao walifikia makubaliano hayo katika mk u t a n o wa h a d h a r a uliofanyika kijijini hapo juzi ambapo pamoja na mambo mengine waliafikiana kuchanga shilingi laki moja kila mtu mwenye uwezo wa kufanyakazi, lengo likiwa ni kuondoa kero ya uhaba wa nyumba za walimu katika

Lumumba walilia kujengewa daraja

Na John Gagarini, Kibaha




MTAA waLumumba wilayani Kibaha unahitaji zaidi yashilingi milioni tisa kwa ajili yakuweka nguzotatu  zadaraja lambaokwenyekivuko cha mtoMpijimpakani mwa wilaya yaKibaha na Kinondoni.
Akizungumza na mwandishi wahabari hizi Mwenyekiti wa mtaahuo, Gidion Tarimo alisema kuwa daraja hilo nim uhimu kwaokwa ajili yakupata mahitaji yaoyakila siku ambayo huyapata mtaa waKibw egereWilayayaKinond oni,Dares Salaam.
Tarimo alisema kuwa Wi layayaKinondoni kwaonikar ibu ukilinganisha na Kibaha Maili Moja hivyo daraja hilolinahit ajikufanyiwamatengenezoili liwezekupitika kwaurahisi hasa kupitishamagari ambapokwasasahayapiti.
"T ume azimiakujenga

Novemba 30 iwe ya mapumziko EAC-Mwinyi

Na Mtuwa Salira, EANA


 RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi, amependekeza nchi zote wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zitangaze mapumziko ifikapo Novemba 30 kila mwaka ili kuongeza uelewa wa wananchi juu ya masuala ya mtangamano.
Novemba 30,1993 ndiyo siku ambayo Kamisheni ya Utatu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ilizinduliwa na hatimaye kuzaliwa upya kwa jumuiya hiyo ambayo ilikufa mwaka 1977 ambapo hivi sasa tarehe hiyo huadhimishwa kama “Siku ya EAC” lakini siyo siku ya mapumziko katika nchi wananchama.
Alhaj Mwinyi aliyasema hayo hivi karibuni jijini Dar es Salaam, wakati akizindua ripoti ya

Mchumba wa Dkt. Slaa ‘kicheko’

Na Rehema Mohamed


 MAHAKAMAyaWilayaya Kinondoni, Dar e s Salaam, imetupilia mbali rufaa iliyokatwana Bw.Am inielMaimbo aliyedai kuwa mumewaBi. Josephine Mushumbusi ,baada yakuiona rufaa hiyo hainamsingi wa kisheria.
Hu kumu yashauri hilolamadaiya ndoa namba32/2012 ,ilitolewa jan a naH akimu AnisethWamburaambaye alisema m ahakama hiyo imefikiauamuzi huobaadaya kukubaliana na hukumu iliyotolewa Aprili2012 na Mahakama ya Mwanzo Sinza.
Bi.Mushumbusi alikuwa akitetewa nawakiliBw.Philemon Mutakyamilwa, ambapo katika hukumuya awali m ahakama hiyo ilidaihakukuwa  nandoa baina ya watuhao kwasababu  Bw.

Sheha amwagiwa tindikali Zanzibar


Mwajuma Juma na Mariam
Mziwanda


 SHEHA waShehia yaTomondo, Zanzibar, Bw.Mohammed Saidi Kidevu ,amemwagiwa tindikali akiwa nyumbani kwake Tomondo, Wilaya ya Magharibi Unguja.
Tukio hilo limetokea saa 2:30, usikuwa kuamkia janawakati akichotamaji.
Akizungumza na waandishi wa habari katika Hospitali yaMnazi mmoja,Bw.Kidevu w akatiakiendelea kuchotamaji, alitokea kijana mm oja as iyemfahamu nabaada yakusalim alim mwagia tind ikali.
Alisema baadaya kumwagiwatindikali,alijaribu kumkimbiza lakini alishindwa kumkamata nahakuwezakupatamsaadawowote kutoka kwa wananchi.
“Awali nilikuwanikipokea vitishokutokakwawatumbalim bali ambao siwafa ham u...v itishohivivilianz aw akati wa chaguzi zaWilayail ikuwapataW ajumbewa Mabaraza ya Katiba,” alisema

Mtwara sasa ulinzi mkali

Na Waandishi Wetu


 SERIKALI imeapa kuwasaka watu wote walioshiriki kupanga njama na kushawishi vurugu zilizotokea juzi mkoani Mtwara ili wafikishwe katika vyombo vya sheria.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Emmanuel Nchimbi, aliyasema hayo bungeni Mjini Do domajan a wa katiak itoa tamkolaSerika likwaniab ayaWaziri Mkuu, Bw. MizengoPind a.
Alisemawanaofa nyavurugu hizo, nyumayaokun awatuhiv yoSerikali itaha kiki shain awasa kana kuwakamata iwendani aun je ya Tanzania ambapo hadisas awatu91wamekam atwa.
A liongezakuwa, Serikali imetoa ufafanuzi wa kina juuyagesi asilia kusafirishwakutoka m ko anihumohadiDaresSalaam, k uelezeaj insi itaka vyo wa nufaishawakaz iwaMtwarana Watanzania wote kwa ujumla.
“Was aliti wa nch i hiiwanatambuafaidaambazozit apatikana hivyo