27 January 2012

WAKAZI WA DAR WALIA NA MFUMUKO WA BEI.

Na Rachel Balama

WANANCHI wa maeneo mbalimbali Jijiji Dar es Salaam wamesikitishwa na mfumuko wa bei za bidhaa muhimu kwani hali  hiyo inawaweka katika wakati mgumu

SERIKALI IUNDE CHOMBO CHA KUDHIBITI BEI -GDSS

Na Rose Itono

WADAU wa semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) wameitaka serikali kuwa na chombo maalumu cha kudhibiti bei za bidhaa ili kuwawezesha wananchi wa kumudu gharama za maisha.

SERIKALI, MADAKTARI WAFIKISHANA PABAYA.

Serikali, madaktari wafikishana pabaya


*Sasa wapashana kupitia vyombo vya habari pekee
*Wagonjwa wataabika, ndugu wahaha kuwahamisha
*Watangaza athari za mgomo ndani ya siku 12

CHEKA,NYILAWILA KUPIMA UZITO LEO.

Na Mwali Ibrahim

MABONDIA Karama Nyilawila na Francis Cheka leo wanatarajia kupima uzito kwa ajili ya kujiandaa na pambano lao lisilo kuwa la ubingwa linalotarajia kufanyika kesho.

26 January 2012

MAHAKAMA KUU KUANZA KUSIKILIZA KESI YA ALIYEKUA MGOMBEA URAIS WA BURUNDI.

Na Grace Ndossa

MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam  itaanza kusikiliza kesi ya kumshikilia  aliyekuwa mgombea urais nchini Burundi Bw. Alex Sinduhije Febuari 6 mwaka huu.

MAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM KUTOA MAAMUZI JUU YA PINGAMIZI LA DOWANS.

Na Grace Ndossa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imesema itatoa uamuzi wa pingamizi lililowasilishwa na Kampuni ya  Dowans la kuitaka mahakama hiyo isiwape Tanesco kibali cha kukataa rufaa Febuari 16 mwaka huu .

KATIBU MKUU TUCTA AWATAKA MADAKTARI KUTOKURUDI NYUMA KWA MADAI YAO.


Na Rehema Maigala

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Nicholaus Mgaya  amewataka madaktari wasirudi nyuma katika maslahi ya kuomba haki yao mpaka pale kitakapoeleweka.

BENKI YA KCB YATOA MISAADA KWA HOSPITALI YA BUGURUNI NA CCBRT.

Na Rehema Mohamed

BENKI ya KCB Tanzania imetoa msaada wa mbalimbali vya hospitali katika hospitali ya Buguruni na CCBRT vyenye zaidi ya thamani ya sh.milioni 22.3

SERIKALI imeshauliwa kutimiza malengo ya Milenia

Na Rehema Mohamed

SERIKALI imeshauliwa kutimiza malengo ya Milenia na mpango wa sera ya afya ili kupunguza vivyo vya watoto ambavyo vinavyoweza kuzuilika.

AZAM FC YAINYWESHA AFRICAN LYON 2-1

Na Speciroza Joseph

TIMU ya Azam FC, jana ilitoka kifua mbele katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuichapa African Lyon, mabao 2-1 iliyopigwa Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya Dar es Salaam.